
Mmoja wa wasanii mahiri wa Hip hop,ambaye amekuwa akifanya vyema katika anga
ya muziki wa kizazi kipya,aitwaye Stamina akitumbuiza mbele ya umati wa
wakazi wa mji wa Morogoro katika tamasha la Tuo8January.
ya muziki wa kizazi kipya,aitwaye Stamina akitumbuiza mbele ya umati wa
wakazi wa mji wa Morogoro katika tamasha la Tuo8January.

Pichani kati ni msanii Shilole akiwa sambambana madansa wake wakilishambulia jukwaa kwa pamoja mbele ya umati wa wakazi wa mji wa morogoro,waliojitokeza kwenye tamasha la Tuo8Januari,lililofanyika hapo jana katika viwanja vya sabasaba mkoani humo.



