Wednesday, November 4, 2015

SIKU YA MWISHO YA RAIS KIKWETE IKULU

jk2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifanya kazi ofisini kwake Ikulu jijini Dar es salaam kwa mmara ya mwisho leo Novemba 4, 2015 kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya Tano anayetarajiwa kuapishwa kesho Dkt John Pombe Joseph Maguful
jk3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoka ofisini kwake Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kufanya kazi katika siku ya  mwisho leo Novemba 4, 2015 kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya Tano anayetarajiwa kuapishwa kesho Dkt John Pombe Joseph Maguful.
Picha na IKULU

Top 10 Most Expensive Footballers’ Cars (2015)

1.Christiano Ronaldo
foot20
foot21


2. Karim Benzema
foot18
foot19

3.Zlatan Ibrahimovic
foot15
foot16

4.Obafemi Martins
foot13
foot14

5.Maria Balotelli
foot11
foot12

6.Frank Lampard
foot9
foot10

7. Mesut Ozil
foot7
foot8

8. Emmanuel Adebayor
foot5
foot6

9. Neymar
foot3
foot4

10. Wayne Rooney
foot1
foot2