Thursday, May 15, 2014

DIAMOND KUWANIA TUZO YA BET AWARDS 2014

Msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz ameipa tena heshima kubwa bendera ya Tanzania kwa kuwa kwenye kipengele cha msanii bora wa Kimataifa (Best International Act) Hii ni hatua kubwa kwa Diamond baada ya siku chache tu nyuma alitangazwa kwenye tuzo za MTV Base (Mama Awards).
bet1

No comments:

Post a Comment