Tuesday, August 12, 2014

PICHA: Yaliyojiri kwenye KILI MUSIC TOUR pande za MBEYA

2
Zembwela na Dulla wa EATV katika amsha amsha kabla ya show kuanza.
Chibwa anaefanya miondoko ya Ragga ndie aliifuungua show ya Kili Music Tour Mbeya
67
 Shilole akionyesha uwezo wake wa kulishambulia jukwaa ikiwa ni pamoja na kumpandisha jukwaani mmoja wa mashabiki.
10
Massawe na Kimario kama wanavyopenda kuitwa waliendeleza utamaduni wao wa kufanya show kwa pamoja katika Kili Music Tour.
14
16
Mtoto wa nyumbani Izzo Bizness akiiwakilisha Mbeya katika Kili Music Tour
18
Profesa Jay akimbulisha Mbunge wa Mbeya Mjini Mheshimiwa Joseph Mbilinyi, Sugu.
22232426

No comments:

Post a Comment