Monday, June 6, 2016

Show ya Lady Jay Dee yafunika mjini Dodoma

Catherine Magige utambulisho
Mratibu wa show ya Lady Jay Dee ya Naamka Tena Tour ya mjini Dodoma, Mh. Catherine Magige akizungumza machache na kutambua uwepo wa Naibu Spika wa Bunge na waheshimiwa wabunge wenzake katika viwanja vya Royal Village mjini humo.
Dk. Tulia Ackson na Alvaro Rodrihuez
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson kwenye viwanja vya Royal Village ilipofanyika show ya mwanamuziki Lady Jay Dee mwishoni mwa wiki mjini Dodoma.
Bongo Flava Quee, Lady Jay Dee
Malkia wa Bongo Flava, Lady Jay Dee katika ubora wake.

Lady Jay Dee at Royal Village

Lady Jay Dee na The Band

Lady Jay Dee - The BAND
Halima Mdee kwenye show ya Lady Jay Dee
Mh. Halima Mdee, Mh. Catherine Magige, Mh. Esther Bulaya pamoja na Hoyce Temu wakiserebuka.
Mashabiki wa Lady Jay Dee Dodoma

Patashika nguo kuchanika
Mariam Nnauye wa Space Africa
Mh. Catherine Magige na Mariam Nnauye wakitoka jukwaani kumtunza Malkia wa Bongo Flava nchini, Lady Jay Dee.

Mama Ankal Issa Michuzi

No comments:

Post a Comment